Wednesday, June 13, 2012

WAREMBO WA MISS DAR INTERCOLLEGE 2012 WATEMBELEA DUKA LA SHEAR ILLUSIONS MLIMANI CITY, DAR

 Baadhi ya Warembo wa Miss Dar InterCollege wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kutembelea duka la Shear Illusions lililopo Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Warembo wa Miss Dar InterCollege wakiangalia bidhaa mbali mbali zinazopatikana kwenye duka hilo.
Mmoja ya wafanyakazi wa duka la Shear Illusions la Mlimani City jijini Dar akitoa maelezo kwa warembo wa Miss Dar InterCollege.
 Mrembo wa Miss Dar InterCollege akivalishwa saa.
Warembo wa Miss Dar InterCollege wakigawiwa zawadi na mwalimu wao Marlydia Boniface (wa kwanza kulia) ambazo walipewa mara baada ya kutembelea duka la Shear Illusions ambao ni wadhamini wa shindano hilo. Picha/www.kajunason.blogspot.com

KWA MARA NYINGINE TENA A.Y NDANI YA BBA .HEEEEEEY!!!THIS WEEKEND FOR A.Y IN BBA SOUTH AFRICA

 
Msanii Ambwene Yesaya au ukipenda AY, anatarajia kuwa jukwaani mwisho mwa wiki hii(Jumapili) nchini Afrika Kusini wakati wa Eviction ya washiriki wa Big Brother Africa(BBA)-Star Game
 
AY anakuwa msanii wa pili kutoka Tanzania kupata nafasi ya kutumbuiza nchini humo wakati wa BBA baada ya Diamond kufanya hivyo wiki chache zilizopita. Lakini hii si mara ya kwanza kwa AY kupanda jukwaa katika Big Brother Africa kwani aliwahi kufanya hivyo mwaka 2009.
Unaweza kuangalia show ya AY Live wakati wa eviction kupitia DSTv

I am Travellar Ya Solo Thang Kuingia Sokoni Soon

SHOW SOME LOVE & SUPPORT for this MOVEMENT ,,Put or share this picture in your blog or any page or your wall in different sites so that our friends and everybody will know about this great and long awaited NEWS!!

GET your MONEY READY ,,Its Worth believe ME,,14 CLASSIC HIP HOP song,,this will be My Best Album so FAR!! be my WITNESS grab your COPY,,,On CD or ONLINE,,, iTUNEs,AMAZON etc,,,from JAN 2012!!!LEGGOOOO

I Dont Wanna Be Alone" - AY ft Sauti Sol

In a move no one anticipated, neo-soul boy band Sauti Sol and Tanzanian Hip-Hop heavyweight AY have teamed for what can only be described as a musical cross breed between the soft sounds of Sauti and the heavy thumping that's AY's signature. "I don't wanna be alone" leaves you feeling mesmerized at the very least, and it's not just the powerful vocals on the track but also the well thought, conscious yet not over-the-top lyrics that'll get you hitting the replay button.

And If the song doesn't do it for you, the video will probably have you sold; five minutes of panoramic scenery, beautiful palettes of bright colors and a story well knitted into it all. The boys have outdone themselves once again.

Dullayo & Suprano live show


BRAND NEW TRACK KUTOKA KWA "CMB PREZZO" FEAT: ULOPA- 4 SHO 4 SHIZZY

Jackson Makini aka CMB PREZZO kutoka nchini Kenya amedondosha kazi mpya 4 SHO 4 SHIZZY aliyomshirikisha Producer wa ngoma hiyo ULOPA kutoka katika studio ya SAMAWATI ya Jijini Nairobi Kenya,Video ya kazi hii ameshoot na kampuni ya BOOMBA Video inatarajiwa kutoka baada ya wiki mbili katika vituo vyote vya Tv Africa nzima:

Album Cover: T-Pain – ‘REVOLVER’

Mzee wa ma Auto-Tune mtu mzima T-Pain ameachia cover ya Album yake mpya ya nne inayoitwa rEVOLVER. ambapo kwenye cover hilo linaonesha picha za T-Pain wa tano tofauti ambazo ni kama kitambulisho cha Style zake tano tofauti anazotumiaga kwenye ngoma zake ikiwemo kama Uwezo wake wa kuchana,kuimba,kucheza, na style yake ya mavazi..Project hiyo inategemea kudondoka December 6 mwaka huu ikawa amewashirikisha wakali kibao akiwemo Wiz Khalifa,Chris Brown na wengine wengi.....


 

Ne-Yo expecting baby boy

According to Uptown Magazine, Ne-Yo has revealed the sex of his second child with longtime girlfriend, Monyetta Shaw. The crooner announced that he’s having his first son, who will join his 10-month-old daughter, Madilyn. The singer told the mag, “I’ve always prided myself on being able to make music that everybody can listen to and that’s not gonna change. That’s just reinforced now that I have a little girl and a little boy on the way. Yeah, I’m doing the same thing I’ve been doing.” Ne-Yo recently cleared up rumors that he proposed to the mother of his kids. He tweeted that he will let fans know if and when that happens.

Jay-Z talks Beyonce’s pregnancy

While he’s normally tight-lipped about Beyonce, late last week Jay-Z told EOnline.com how it feels to be expecting his first child. Hova stated, “I'm excited! I think that is pretty easy.” He refused to go into further detail about the sex of their baby or when his wife is due, but the diva is rumored to be in her second trimester. We’ll keep you posted with further details.

   

 

TAMASHA LA TUSKER ALL STARS CONCERT 2011 LATIKISA JIJI LA NAIROBI

Shaggy akiwaimbisha maelfu ya watu waliofurika kwenye tamasha la Tusker All Stars 2011,ndani ya viwanja vya Carnivo jijini Nairobi,usiku wa kuamkia leoClouds Enertainment Media Group ni moja ya kampuni ambazo zinafanya vizuri sana sasa hivi katika nyanja za kuandaa matamasha ya muziki na burudani nyingine nchini Tanzania na imefanikiwa kwa kiwango kikubwa, kwani kuleta wanamuziki kutoka pande mbalimbali za dunia na kuonyesha uwezo wao katika kutangaza muziki wa ndani ya nchi na wa nje pia pamoja na wanamuziki wenyewe, lakini pia kampuni hii imetangaza zaidi jina lake kupitia tamasha la Serengeti Fiesta ambalo hufanyika kila mwaka lishirikisha wanamuziki wa nje ya Tanzania na ndani pia Kwa sasa Clouds Enertainment Media Group imevuka mipaka na kuratibu tamasha kubwa la muziki lililokwenda kwa jina la Tusker All Stars Concert 2011 lililofanyika jana Carnivo jijini Nairobi nchini Kenya, likishirikisha wanamuziki wakubwa kutoka Marekani na Afrika kama vile Shaggy, Eve E, na Cabo Snoop kutoka nchini Agola pamoja na wanamuziki kadhaa kutoka hapa Afrika Mashariki, ambapo tamasha hilo limefanikiwa sana na kutikisa ukanda wa Afrika Mashariki huku jina la Kampuni hiyo liliendelea kujijengea heshima kubwa katika Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla Jana pamoja na kuwepo kwa hali ya mvua mvua,lakini maelfu ya watu waliokuwa kwenye viwanja vya carnivo kujiachia ndani ya tamasha la Tusker All Stars 2011,hawakutaka kubanduka kabisa,badala yake walikuwa wakijifunika na viti ili wasikose uhondo uliokuwa ukiendelea kutolewa jukwaani. Mmoja wa madada wakali katika miondoko ya hipo hop nchini Marekani,Eve E akiwaachia mistari wakazi wa Nairobi,ambao wengi wao walikuwa wakivutiwa nae kwa namna ambavyo alikuwa akionesha kukomaa kwake kwenye anga ya muziki wa hip hop. Shaggy ni mmoja wa wanamuziki ambao kiukweli awapo jukwaani hana masikhara kabisa na uwanja wake,kila wakati hupenda kuhakikisha watu wanashangweka tu,na ndivyo ilivyokuwa kwenye shoo yake usiku wa kuamkia leo,kila wakati alikuwa akiwaimbisha mashabiki nao bila hiyana walikwenda nae sambamba,hali iliyomfurahisha zaidi.


Shaggy na bak voko wake wakilishambulia jukwaa,huku maelfu ya mashabiki waliofika kwenye tamasha hilo wakipaga mayowe kuonesha kuwa wanakunwa vilivyo na umahiri wa wanamuziki hao.

TUSKER ALL STARS YAZIDI KUPAMBA NAIROBI

Hawa ni wasanii watakao towa burudani ambapo amekosekanika msanii moja ni EVE (kutoka Marekani),ambaye anatalajia kufika nae katika tamasha la TUSKER ALL STARS 2011,Linalotalajiwa kufanyika kwenye viwanja vya Carnivo jijini Nairobi,Oktoba 1.

New Music: Justin Bieber – ‘How to Love RMX"

Young star Justin Bieber nae amedhirisha ni jinsi gani anaikubali Album mpya ya mtu mzima kutoka YMCMB rapper Lil wayne kwa kufanya RMX ya ngoma ya rapper huyo ambayo kwasasa ina hit kwenye chat kibao za media tofauti duniani Justin Bieber amerudia track inayoitwa "How to Love" kutoka kwenye Album inayoitwa Carter IV ambayo imetoka siku wiki chache zilizopita Umundani ya ngoma hiyo dogo Justin ameonesha uwezo wake wa kuimba na ku rap kama mtu mzima Weezy.........

Ujio mpya wa Bow Wow – ‘I’m Better Than You’ [Mixtape]  

Rapper ambae kwasasa anapeperusha bendera ya YMCMB mtu mzima Bow wow amerudi tena na Bonge la Mixtape ambayo inaitwa 'I'm Better Than You' mzigo ambao yeye amaemua kuufannya kama utangulizi kabla ya Album yake ambayo inatarajiwa kudondoka sokoni December 6 ya mwaka huu Bow wow amesema kwenye Mixtape hiyo kuna track 11 na zote ni kali ikawamu kupiga Collaboration na Rafiki yake kipenzi Chris Brown na God Father wake mtu mzima Jermaine Dupri

Barnaba Brand New Track - Sipendi Dharau












Known RnB singer of Tanzania House of Talent (THT...), Barnaba Elias has released a new track called ‘SIPENDI DHARAU’ which he officially launched it earlier during welcome party of growing up artist in T.H.T. recently.
Lady Jay Dee ft Oliver "Tuku" Mtukudzi - Mimi ni Mimi

10 years ago I met someone who changed my life musically. I continued following his footsteps working hard listening to the advice he gave me every time we chatted. All this time I had a dream to do a song with him but didn’t know when exactly its gonna happen but I still believed one day this dream will come true.

Fast forward to 2011, By the grace of God i am who i am, God made my dream come true, the this collabo with the legendary African musician Oliver "Tuku" Mtukudzi from Zimbabwe.

Thanks for the support and enjoy the music!!!

Bio- Mwana Fa:

His performance and lyrical content have made him one of the famous hip-hop artists in Tanzania, Hamis Mwinjuma aka MwanaFalsafa rose to fame with the release of his first solo single ‘Ingekuwa Vipi’ in 2002, the track entered the top ten numbers in various radio stations in Tanzania.
 
ay
 In August 2000 he plunged seriously into the world of music by composing lyrics while waiting for DJ Bonie Love of Mawingu Records to start producing his music. Under Mawingu Records, he has managed to release his debut album known as Mwanafalsafani in 2002. The success of 'Alikufa kwa Ngoma', an anti AIDS song saw him receiving recognition at the 2003 Kilimanjaro Music Award as Best Hip hop Artist of the Year in Tanzania.

He has since released three albums to date with the current album ‘Unanitega’ grabbing the Best Hip hop Album award at the Kilimanjaro Music Awards 2006. In 2007, Mwanafalsafa and fellow Tanzanian rapper AY collaborated on a joint album titled, ‘Habari Ndio Hiyo’. The following year, the 2008 Kilimanjaro Music Awards panel awarded him the Best Lyricist award as well as Best Collaboration Song award for the track 'Habari Ndio Hiyo'.

Get to hear the exclusive tune "Ameen" by Mwana FA alongside Dully Sykes and AY right here. Pop the hood to listen!

For any booking and press contact
Unity Entertainment

No comments:

Post a Comment