WAREMBO WA MISS DAR INTERCOLLEGE 2012 WATEMBELEA DUKA LA SHEAR ILLUSIONS MLIMANI CITY, DAR
Baadhi ya Warembo wa Miss Dar InterCollege wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kutembelea duka la Shear Illusions lililopo Mlimani City jijini Dar es Salaam. |
Warembo wa Miss Dar InterCollege wakiangalia bidhaa mbali mbali zinazopatikana kwenye duka hilo. |
Mmoja ya wafanyakazi wa duka la Shear Illusions la Mlimani City jijini Dar akitoa maelezo kwa warembo wa Miss Dar InterCollege. |
Mrembo wa Miss Dar InterCollege akivalishwa saa. |
Warembo
wa Miss Dar InterCollege wakigawiwa zawadi na mwalimu wao Marlydia
Boniface (wa kwanza kulia) ambazo walipewa mara baada ya kutembelea duka
la Shear Illusions ambao ni wadhamini wa shindano hilo.
Picha/www.kajunason.blogspot.comKWA MARA NYINGINE TENA A.Y NDANI YA BBA .HEEEEEEY!!!THIS WEEKEND FOR A.Y IN BBA SOUTH AFRICA![]() Msanii Ambwene Yesaya au ukipenda AY, anatarajia kuwa jukwaani mwisho mwa wiki hii(Jumapili) nchini Afrika Kusini wakati wa Eviction ya washiriki wa Big Brother Africa(BBA)-Star Game ![]() AY anakuwa msanii wa pili kutoka Tanzania kupata nafasi ya kutumbuiza nchini humo wakati wa BBA baada ya Diamond kufanya hivyo wiki chache zilizopita. Lakini hii si mara ya kwanza kwa AY kupanda jukwaa katika Big Brother Africa kwani aliwahi kufanya hivyo mwaka 2009. Unaweza kuangalia show ya AY Live wakati wa eviction kupitia DSTv I am Travellar Ya Solo Thang Kuingia Sokoni Soon![]() GET your MONEY READY ,,Its Worth believe ME,,14 CLASSIC HIP HOP song,,this will be My Best Album so FAR!! be my WITNESS grab your COPY,,,On CD or ONLINE,,, iTUNEs,AMAZON etc,,,from JAN 2012!!!LEGGOOOO I Dont Wanna Be Alone" - AY ft Sauti Sol![]() And If the song doesn't do it for you, the video will probably have you sold; five minutes of panoramic scenery, beautiful palettes of bright colors and a story well knitted into it all. The boys have outdone themselves once again. BRAND NEW TRACK KUTOKA KWA "CMB PREZZO" FEAT: ULOPA- 4 SHO 4 SHIZZY
Jackson
Makini aka CMB PREZZO kutoka nchini Kenya amedondosha kazi mpya 4 SHO 4
SHIZZY aliyomshirikisha Producer wa ngoma hiyo ULOPA kutoka katika
studio ya SAMAWATI ya Jijini Nairobi Kenya,Video ya kazi hii ameshoot na
kampuni ya BOOMBA Video inatarajiwa kutoka baada ya wiki mbili katika
vituo vyote vya Tv Africa nzima:
Album Cover: T-Pain – ‘REVOLVER’
Mzee
wa ma Auto-Tune mtu mzima T-Pain ameachia cover ya Album yake mpya ya
nne inayoitwa rEVOLVER. ambapo kwenye cover hilo linaonesha picha za
T-Pain wa tano tofauti ambazo ni kama kitambulisho cha Style zake tano
tofauti anazotumiaga kwenye ngoma zake ikiwemo kama Uwezo wake wa
kuchana,kuimba,kucheza, na style yake ya mavazi..Project hiyo inategemea
kudondoka December 6 mwaka huu ikawa amewashirikisha wakali kibao
akiwemo Wiz Khalifa,Chris Brown na wengine wengi.....
Ne-Yo expecting baby boy
According
to Uptown Magazine, Ne-Yo has revealed the sex of his second child with
longtime girlfriend, Monyetta Shaw. The crooner announced that he’s
having his first son, who will join his 10-month-old daughter, Madilyn.
The singer told the mag, “I’ve always prided myself on being able to
make music that everybody can listen to and that’s not gonna change.
That’s just reinforced now that I have a little girl and a little boy on
the way. Yeah, I’m doing the same thing I’ve been doing.” Ne-Yo
recently cleared up rumors that he proposed to the mother of his kids.
He tweeted that he will let fans know if and when that happens.
Jay-Z talks Beyonce’s pregnancy
While
he’s normally tight-lipped about Beyonce, late last week Jay-Z told
EOnline.com how it feels to be expecting his first child. Hova stated,
“I'm excited! I think that is pretty easy.” He refused to go into
further detail about the sex of their baby or when his wife is due, but
the diva is rumored to be in her second trimester. We’ll keep you posted
with further details.
TAMASHA LA TUSKER ALL STARS CONCERT 2011 LATIKISA JIJI LA NAIROBI![]() ![]() Shaggy na bak voko wake wakilishambulia jukwaa,huku maelfu ya mashabiki waliofika kwenye tamasha hilo wakipaga mayowe kuonesha kuwa wanakunwa vilivyo na umahiri wa wanamuziki hao. TUSKER ALL STARS YAZIDI KUPAMBA NAIROBINew Music: Justin Bieber – ‘How to Love RMX"![]() Ujio mpya wa Bow Wow – ‘I’m Better Than You’ [Mixtape]
Rapper ambae kwasasa anapeperusha bendera ya YMCMB mtu mzima Bow wow
amerudi tena na Bonge la Mixtape ambayo inaitwa 'I'm Better Than You'
mzigo ambao yeye amaemua kuufannya kama utangulizi kabla ya Album yake
ambayo inatarajiwa kudondoka sokoni December 6 ya mwaka huu Bow wow
amesema kwenye Mixtape hiyo kuna track 11 na zote ni kali ikawamu kupiga
Collaboration na Rafiki yake kipenzi Chris Brown na God Father wake mtu
mzima Jermaine Dupri
Barnaba Brand New Track - Sipendi DharauKnown RnB singer of Tanzania House of Talent (THT...), Barnaba Elias has released a new track called ‘SIPENDI DHARAU’ which he officially launched it earlier during welcome party of growing up artist in T.H.T. recently.
Lady Jay Dee ft Oliver "Tuku" Mtukudzi - Mimi ni Mimi
10
years ago I met someone who changed my life musically. I continued
following his footsteps working hard listening to the advice he gave me
every time we chatted. All this time I had a dream to do a song with him
but didn’t know when exactly its gonna happen but I still believed one
day this dream will come true.
Fast forward to 2011, By the grace of God i am who i am, God made my dream come true, the this collabo with the legendary African musician Oliver "Tuku" Mtukudzi from Zimbabwe. Thanks for the support and enjoy the music!!!
Bio- Mwana Fa:
His
performance and lyrical content have made him one of the famous hip-hop
artists in Tanzania, Hamis Mwinjuma aka MwanaFalsafa rose to fame with
the release of his first solo single ‘Ingekuwa Vipi’ in 2002, the track
entered the top ten numbers in various radio stations in Tanzania.
![]()
ay
In
August 2000 he plunged seriously into the world of music by composing
lyrics while waiting for DJ Bonie Love of Mawingu Records to start
producing his music. Under Mawingu Records, he has managed to release
his debut album known as Mwanafalsafani in 2002. The success of 'Alikufa
kwa Ngoma', an anti AIDS song saw him receiving recognition at the 2003
Kilimanjaro Music Award as Best Hip hop Artist of the Year in Tanzania.
He has since released three albums to date with the current album ‘Unanitega’ grabbing the Best Hip hop Album award at the Kilimanjaro Music Awards 2006. In 2007, Mwanafalsafa and fellow Tanzanian rapper AY collaborated on a joint album titled, ‘Habari Ndio Hiyo’. The following year, the 2008 Kilimanjaro Music Awards panel awarded him the Best Lyricist award as well as Best Collaboration Song award for the track 'Habari Ndio Hiyo'.
Get to hear the exclusive tune "Ameen" by Mwana FA alongside Dully Sykes and AY right here. Pop the hood to listen!
For any booking and press contact
Unity Entertainment
|
No comments:
Post a Comment