Sunday, June 3, 2012

LIGHTNESS MICHAEL NDIYE REDDS MISS DODOMA 2012


Mshindi Wa Taji la Redds Miss Dodoma 2011 akisubiri Kumvalisha Taji Mshindi ambaye atatangazwa katika shindano la Kuwania Taji la Redds Miss Dodoma 2012
Mshindi wa Taji la Redds Miss Dodoma 2012 (katikakati) Lightness Michael akiwa katika picha ya Pamoja na Mshindi wa Pili (Kulia)  Berinda Mdogo na Mshindi wa Tatu wa taji la Redds Miss Dodoma 2012 (Kushoto) Nulsa Magambo Mara baada ya Mshindi wa Taji la Redds Miss Dodoma Kumalizika hapo Jana
Washiriki wa Kinyanganyiro Cha Kuwania Taji la Redds Miss Dodoma Wakiwa Katika Picha ya Pamoja kabla ya Kutangazwa Washiriki walioingia Tano Bora
 Muda wa Maswali Ukawadia Kwa washiriki walioingia katika tano bora
 Baadhi ya washiriki walipokua wakipita Jukwaani kwa Mara ya kwanza
 Muda wa Kuonyesha Vipaji sasa hapo ni mauno kwa kwenda mbele
 Vazi la Ufukweni hilo
 Washiriki walioingia hatua ya tano bora
 Jaji mkuu akisoma majin ya washiriki walioingia tano bora
Muda wa kipaji na Mshiriki huyu akaja na kipaji cha kuimba kihindi na kucheza kuch kuch
 Majaji wakiwa makini katika kuhakikisha wanatoa mshiriki anayefaa na mwenye vigezo vyote vinayohitajika
Msanii wa Bongo Fleva Dully Sykes akitoa Burudani kwa washabiki waliohudhuria katika shindano la kuwania taji la Redds Miss Dodoma 2012 lililofanyika jana katika ukumbi wa kilimani
 Baadhi ya Wadau waliojitokeza kushuhudia Kinyanganyiro Hiko huku wengine wakisakata rumba mara baada ya Dully Sykes Kuwakuna Vilivyo
Waratibu wa Shindano hilo wakiwa katika Picha ya Pamoja
 Hawa ndio waliokunwa vizuri na Show ya Msanii wa Bongo Fleva Dully Sykes
Mmiliki wa mtandao wa Lukaza blog (Wa Kwanza Kushoto) Josephat Lukaza Akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi wa UDOM waliojitokeza kuwashangilia Wanafunzi wenzao walioshiriki shindano hilo
Mshindi wa Kwanza wa Taji la Redds Miss Dodoma 2012 Lightness Michael akiwa katika picha ya pamoja na Washiriki wa Shindano hilo.

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA SOMALIA ARUSHA LEO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais Sheikh Shariff Ahmed aliyekutana naye leo june 2, 2012 jijini Arusha. Pamoja na mambo mengine Rais Kikwete na mgeni wake waliongelea hali ya usalama katika nchi hiyo ya pembe ya  Afrika na pia akamhakikishia Rais huyo ushirikiano wa kila aina katika kuhakikisha utulivu unarejea nchini Somalia. PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment