Saturday, May 26, 2012

WANAFUNZI WA CHUO CHA SAYANSI YA COMPUTA NA TEKNOLOGIA YA MAWASILIANO WAANZA KAMPENI ZA UCHAGUZI


hizi ndizo barabara za majengo ya hosteli za chuo hicho ambapo makundi ya watu mbalimbali hupita kwa kuimba nyimbo za harambee huku wakipiga kampeni

 baadhi ya kundi la mgombea wa urahisi akipita huku akiwapunga mkono wa salamu kwa wanafunzi waliokuwa wakimuangalia na kumshabikia
 msafara huu ulipambwa na nyimbo za kishujaa na mchakamchaka kwa mbaaaali
walihakikisha wanapita bweni baada ya bweni wakisaeeema mchague GEORGE kwani anafaa:habari picha na (ZE JOJO)

No comments:

Post a Comment