WANAUDOM CHAMBER WATOA ZAWADI YA PASAKA KWA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA MIYUJI KILICHOPO MJINI DODOMA JANA
Hii
ni moja ya Picha Kubwa iliyochorwa katika ukuta wa bweni ambalo
wanalala watoto wa kituo cha Miyuji kilichopo katika Eneo la Miyuji
Mkoani Dodoma.Kituo kinachoendeshwa na Kusimamiwa na Kanisa Katoliki
Mbuzi
huyo alikua ni Moja ya Zawadi ya Pasaka kutoka kwa wanafunzi wa UDOM
waliyopelekewa Watoto Waishio katika Mazingira magumu katika Kituo Cha
Kulelea Watoto cha Miyuji kinachosimamiwa na Kanisa Katoliki kilichopo
Miyuji Mkoani Dodoma
Baadhi
ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) wakiwa pamoja na watoto
waishio kituoni hapo katika moja ya Mashamba ya machungwa yaliyopo
kituoni hapo wakti wanafunzi wa UDOM walipokwenda kuwatembelea Watoto
hao hapo jana..watoto pamoja na walezi wao hujishughlisha na ulimaji wa
mbogamboga na pia pia hufuga mifugo mbali mbali kama ng'ombe na mbuzi
kwa ajiri ya kitoweo...pia wana mashamba ya mahindi ambayo huwasaidia
kwa chakula
Picha
Juu Ni wanafunzi wa UDOM ambao ni wana UC wakishiriki kuimba na
kucheza pamoja na Watoto hao katika kituo hilo ambapo wanafunzi wa
UDOM walienda kuwatembelea watoto hao jana na kucheza nao baadhi ya
michezo
Tulipata
picha ya pamoja na watoto wanaoishi katika kituo hicho cha nyumba ya
matumaini miyuji jana...(picha zote na Faddy Gaib Linga)
No comments:
Post a Comment