WANAFUNZI UDOM WAANZA KUONYESHA TABASAMU MARA BAADA YA MAJINA YA KUSAINI BOOM KUTOKA
Wanafunzi Wa UDOM wakiwa kwenye
foleni tayari kwenda kusaini Pesa ya Kujikimu Asubuhi.Zoezi ambalo
lilianza mapema Jumamosi iliyopita.
Haya sasa Wanafunzi wa Udom Hao wakiwa kwenye foleni tayari kwa kusaini boom.
Wengine wakiwa kwenye foleni huku wengine wakiwa katika majadiliano mazito kuhusu boom.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Seif Sharif Hamad akimkabidhi zawadi mmoja kati ya watoto yatima waliofanya vizuri katika masomo yao

Arumeru Mashariki kwazidi kupamba moto uchaguzi mdogo
wafuasi wa CHADEMA wakimsalimia mgombea kupitia Chama hicho Nassari.Picha na Amani Tanzania
chadema juuuu!
ReplyDeletecool newz
ReplyDelete