Monday, March 26, 2012

WANA UDOM WAANZA KUSHEREKEA UTAMUWA BOOM BAADA YA MSOTO WA WIKI TATU/////////;;;;;;,.,,.,.,.,<<<<<<

 Wanafunzi wa UDOM leo wameingiwa na furaha baada ya kukaa wiki 3 bila kupata hela.....
 ATM  za CRDB UDOM,zikiwa zimeanza kufurika baada ya pesa kuwekwa jioni ya leo
Vijana wakitikisa mihamala leo jioni hapa Social>>>>>>>>>>>Picha na Lukaza na Faddy Linga

No comments:

Post a Comment