MNYAMA AIBUKA KIDEDEA KWA MAGOLI 2 KWA BILA DHIDI YA ES SETIF
Mchezaji Emanuel Okwi wa Simba akiruka juu juu kuupiga kwa kichwa mpira
katikati ya mabeki wa timu ya Es Setif katika mchezo wa Kombe la
Shirikisho unaofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam
jioni hii, Mpira umekwisha Simba imeshinda magoli mawili yaliyofungwa
na wachezaji Emmanuel Okwi goli la kwanza na Haruna Moshi "Boban" goli
la pili.
Mashabiki wa Simba wanashangilia kwelikweli huku na baada ya Simba
kufunga magoli mwashabiki wa Yanga walianza kuondoka uwanjani kabla ya
mpira kuisha ni kazi kwelikweli.
Mchezaji wa timu
ya Simba Emmanuel Okwi akiruka juu juu katikati ya mabeki watimu ya ES
Setif wakati timu hizo zilipopambana katika kombe la Shirikisho kwenye
uwanja wa Taifa leo.
Mchezaji wa Simba Amir Maftaha
akikabana na mchezaji wa timu ya ES Setif ya Algeria katika mchezo wa
kombe la Shirikisho.Picha Kwa Hisani ya http://mamapipiro.blogspot.com/
Rais Jakaya Kikwete akimwapisha Mariam Mtunguja (kulia) kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mbeya
Rais Jakaya Kikwete akimwapisha Mariam
Mtunguja (kulia) kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mbeya katika hafla
iliyofanyika Ikulu,
Dar es Salaam. (Picha na Fadhili Akida).
Balozi wa Ireland atembelea Kiwanda cha bia cha Serengeti (SBL)
Balozi
wa Ireland nchini Tanzania Mhe. Loscan Fullan (wapili kulia) Meneja wa
Fedha na Biashara wa SBL, John Collins, Brewery Manager wa SBL Colman
Hanna, Meneja Mawasiliano wa SBL, Imani Lwinga na Meneja wa Ubora wa
SBL, Alloyce Nduka wakionja bia za SBL wakati wa ziara hiyo ya Balozi.
Balozi
wa Ireland nchini Tanzania Mhe. Loscan Fullan (kushoto) akitembezwa
katika kiwanda na Meneja wa Fedha na Biashara wa SBL, John Collins
(kulia) na Brewery Manager wa SBL Colman Hanna.
No comments:
Post a Comment