maandano ya wanafunzi waislamu yafanyika dar
…
Wanafunzi
wa kiislamu shule za sekondari za Dar es salaam wameandamana jana kama
walivyoahidi siku chache zilizopita kwenye vyombo vya habari.
Maandamano yao yaliishia viwanja vya kidongo chekundu na waziri wa elimu Dk.shukuru kawambwa alikuwepo kuongea nao.
No comments:
Post a Comment