Monday, March 4, 2013

Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe Azindua Mashina Mapya Rukwa

 Baadhi ya wafuasi wa Chadema wakiwa mbele ya jiwe la msingi mufa mfupi kabla ya mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe kulizindua mkoani rukwa
 Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Mh Freeman Mbowe akizindua mmoja ya mashina mapya ya Chadema Mkoani Rukwa
 Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Mh Freeman Mbowe akihutubia muda mfupi baada ya kuzindua mmoja ya mashina mapya ya Chadema Mkoani Rukwa.Picha Zote na Chadema

No comments:

Post a Comment