Saturday, November 10, 2012

CHAMA CHA MADAKTARI WANAWAKE TANZANIA ZAZINDUA HUDUMA YA AFYA YA JAMII MNAZI MMOJA

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akikaribishwa na Mkurugenzi  Mkuu wa Hospitali ya Muhimbili  Dkt. Marina Njelekela wakati wa Uzinduzi wa Huduma  ya Afya kwa Jamii Viwanja vya Mnazi Mmoja  mjini Dar es Salaam  leo ,mgeni rasmi akiwa Mama Kikwete .
Mwenyekiti wa Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mke wa Rais Mama Salma  Kikwete  akitoa Risala  wakati wa Uzinduzi wa Huduma ya Afya kwa Jamii  Viwanja vya Mnazi Mmoja mjini Dar es Salaam leo  akiwa Mgeni rasmi.
Baadhi ya Akina mama waliofika Viwanja vya Mnazi Mmoja kupata Elimu mbalimbali kwa ajili ya Afya wakimsikiliza Mwenyekiti wa Wanawake na Maendeleo  (WAMA) Mama Salma Kikwete akizindua Huduma ya Afya  kwa Jamii  akiwa mgeni rasmi  jijini Dar es Salaam  leo .
Baadhi ya Akina mama waliofika Viwanja vya Mnazi Mmoja kupata Elimu mbalimbali kwa ajili ya Afya wakimsikiliza Mwenyekiti wa Wanawake na Maendeleo  (WAMA) Mama Salma Kikwete akizindua Huduma ya Afya  kwa Jamii  akiwa mgeni rasmi  jijini Dar es Salaam  leo .
Mwenyekiti wa  Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma KIkwete kulia na Mwenyekiti wa Chama cha Madaktari Wanawake (MEWATA) Dkt Sarafina  Mkuwa  wakijadiri kitu wakati wa Uzinduzi wa Huduma ya Afya kwa jamii Viwanja vya Mnazi Mmoja mjini Dar es Salaam leo .
Wakazi wa jiji la Dar es salaam wakiwa katika foleni ya kwenda kupima Afya zao viwanja vya mnazi mmoja hunduma hiyo ni bure iliyoandaliwa na chama cha madaktari wanawake Tanzania (MEWATA)
Daktari bingwa wa macho kutoka hospitali ya Taifa muhimbili Bi.Celina Mhina akimpima macho mmoja wa wazee walioathirika na macho.
Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es salaam wakisubiria kupata huduma ya macho kwenye viwanjavya Mnazi Mmoja.PICHA  ANNA ITENDA WA (MAELEZO) NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE
 
 
 
 
 

MSONDO NGOMA YAKABIZIWA VYOMBO NA KONYAGI

SAID MABELA AKIPOKEA  KUTOKA KWA David Mgwasa
 
 
 
Na Mwandishi Wetu

BENDI kongwe nchini ya Msondo Ngoma music band  imekabidhiwa vifaa vya muziki na kampuni ya Konyagi Dar es Salaam
Akizungumza wakati wa kukabidhi vifaa hivyo, Mkurugenzi mkuu wa Kampuni ya Konyagi nchini, David Mgwasa alisema vifaa hivyo vimetolewa kwa ajili ya kuenzi utamaduni wa Mtanzania na kuifanya msondo kuwa imara katika kutoa burudani kwa watanzania.

"Msondo ni bendi kongwe tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964 imesimama imara katika kutoa burudani ya uhakika kwa watanzania sanjari na kutumia nyimbo zake katika kuelimisha, kufunza jamii ya watanzania walio wengi," alisema Mgwasa.

Alisema watu wengi kwa kuwepo bedndi ya msondo wamewezakupata mafunzo mengio kupitia nyimbo zao ambazo nyingi zimekuwa zikitoa mafunzo kwa watanzania.
Hivyo alisema kuwa kwa kuwapatia vifaa hivyo, Msondo itakuwa moto wa kuotea mbali katika kutoa burudani ya uhakika hali itakayofanya bendi nyingine kwa wasindikizaji katika tasnia ya muziki wa dansi nc?hini.

Mkurugenzi wa bendi hiyo Maalim Gurumo alisema kuwa kwa sasa wanadeni kwa Watanzania na kampuni ya Konyagi katika kutoa burudani ya uhakika baada ya kupatiwa vifaa hivyo.

"Tunaamini baada ya leo kupata vifaa hivyo tutatoa burudani ya uhakika sanjari na kukijenga vyema kikosi chetu kwa lengo la kukiimarisha," alisema Gurumo.

Kiongozi wa bendi hiyo Said Mabela alitoa shukrani wa kampuni ya konyagi kwa kuwapatia vifaa hivyo na kuahidi kuendelea kutoa burudani safi kwa Watanzania na Afrika kwa ujumla.

"Tunashukuru kampuni ya Konyagi kutupatia vifaa vya muziki ambavyo kwetu ilikuwa ni vigumu kwa kipindi hiki kuvipata, hivyo tunaamini tutafanya tutaendela kuwa vinara katika kutoa burudani nchini," alisema Mabela.

Ofisa Habari wa bendi hiyo Rajabu Mhamila 'Super D' alisema kuwa amefurahishwa na kampuni hiyo kutoa vifaa hivyo akiamini kuwa vijana wake watafanya vizuri zaidi katika ushindanio wa muziki huo nchini.
Pia aliwaomba wadau wengine wa muziki nchini kujitokeza  kuisaidia Msondo ili kuijengea uimara katika ushindi wa muziki huo nchini ili kuendelea kuwa bendi bora na ya kuigwa nchini.
WANAMZIKI WA BENDI YA MSONDO NGOMA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA KONYAGI
 
 
TOP 10 celebrities with the best rear of the world



Elsa Pataky
 
Eva Jacqueline Longoria


Scarlett Johansson


Cameron Diaz 


Jessica Biel


Paulina Rubio



Shakira
 
Beyoncé Giselle Knowles


Kimberly Noel "Kim" Kardashian



Jennifer López
 
 
 
 

Mfanyakazi wa Airtel abambwa akiiba Quality Plaza

Mrembo pichani (jina kapuni) aliyefahamika na wengi kama mfanyakazi wa Airtel Quality Center  hivi karibuni alikamatwa  akiwa na rundo la vitu kibao alivyoviiba  ndani ya  Supermarket ya Quality Centre iliyopo barabara ya Nyerere mjini Dar es salaam.
 
Source: Chinga One Blog
 

RAIS BARAK OBAMA ASHINDA UCHAGUZI WA AWAMU YA PILI KUIONGOZA MAREKANI




President Barack Obama handily defeated Gov. Mitt Romney and won himself a second term Tuesday after a bitter and historically expensive race that was primarily fought in just a handful of battleground states. Obama beat Romney after nabbing almost every one of the 12 crucial battleground states.

In a sweeping victory speech early Wednesday morning, Obama thanked every American who voted, and vowed to work with leaders from both parties to tackle the country's challenges.

"Our economy is recovering, a decade of war is ending, a long campaign is now over," he told a crowd of cheering supporters in Chicago. "And whether I earned your vote or not, I have listened to you, I have learned from you and you have made me a better president." Obama added he has "never been more hopeful about America. ... We're not as divided as our politics suggest. We remain more than a collection of blue states and red states."

Romney conceded in Boston in an earlier speech around 1 AM ET. "Like so many of you, Paul [Ryan] and I have left everything on the field. We have given our all to this campaign," Romney said. "I so wish that I had been able to fulfill your hopes to lead your country in another direction. But the nation chose another leader." Romney congratulated the president and his campaign on their victory.

The Romney campaign's last-ditch attempt to put blue-leaning Midwestern swing states in play failed as Obama's Midwestern firewall sent the president back to the White House for four more years. Obama picked up the swing states of New Hampshire, Michigan, New Mexico, Iowa, Virginia, Wisconsin, Colorado, Nevada, Pennsylvania, Minnesota and Ohio. Of the swing states, Romney only picked up North Carolina. Florida is still too close to call, but even if Romney won the state, Obama still handily beats him in the Electoral College vote. The popular vote will most likely be narrower than the president's decisive Electoral College victory.

The Obama victory marks an end to a years-long campaign that saw historic advertisement spending levels, countless rallies and speeches, and three much-watched debates.

The Romney campaign cast the electio as a referendum on Obama's economic policies, frequently comparing him to former President Jimmy Carter and asking voters the Reagan-esque question of whether they are better off than they were four years ago. But the Obama campaign pushed back, blanketing key states such as Ohio early on with ads painting him as a multimillionaire more concerned with profits than people. The Obama campaign also aggressively attacked Romney on reproductive rights issues, tying Romney to a handful of Republican candidates who made controversial comments about rape and abortion.

The ads were one reason Romney faced a steep likeability problem for most of the race, until his expert performance at the first presidential debate in Denver in October. After that debate, and a near universal panning of Obama's performance, Romney caught up with Obama in national polls, and almost closed his favorability gap with the president. In polls, voters consistently gave him an edge over Obama on who would handle the economy better and create more jobs, even as they rated Obama higher on caring about the middle class.

But the president's Midwestern firewall—and the campaign's impressive grassroots operation—carried him through. Ohio tends to vote a bit more Republican than the nation as a whole, but Obama was able to stave off that trend and hold an edge there over Romney, perhaps due to the president's support of the auto bailout three years ago. Romney and his running mate Paul Ryan all but moved to Ohio in the last weeks of the campaign, trying and ultimately failing to erase Obama's lead there.

A shrinking electoral battleground this year meant that only 12 states were really seen as in play, and both candidates spent most of their time and money there. Though national polls showed the two candidates in a dead heat, Obama consistently held a lead in the states that mattered. That, and his campaign's much-touted get-out-the-vote efforts and overall ground game may be what pushed Obama over the finish line.


Now, Obama heads back to office facing what will most likely be bitterly partisan negotiations over whether the Bush tax cuts should expire. The House will still be majority Republican, with Democrats maintaining their majority in the Senate

 

 

NEWS ALERT: SPIKA WA BUNGE ATOA UAMUZI KUHUSU KAMATI YA NISHATI NA MADINI


Spika wa Bunge,Mh. Anne Makinda (pichani) leo ametoa Uamuzi juu Tuhuma zinazowakabili Wabunge walio kwenye Kamati ya Nishati na Madini kuhusika na Rushwa katika Utendaji wa kazi zao za Kibunge.

BOFYA HAPA KUONA UAMUZI HUO WA SPIKA WA BUNGE.

MASANJA MKANDAMIZAJI ALIVYO ZINDUA ALBAM YAKE YA HAKUNA JIPYA NDANI YA ARUSHA


BEPARI LA KIHAYA...MPOKI AKIVUNJA WATU MBAVU...!!!
Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha alikuwepo katika Tamasha la uzinduzi wa albam ya Masanja Mkandamizaji 'Hakuna Jipya' katika uwanja wa kumbukumbu wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
Annastazia Mukabwa alikuwepo katika Tamasha la uzinduzi wa albam ya Masanja Mkandamizaji 'Hakuna Jipya' katika uwanja wa kumbukumbu wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
Hapa ni kijeshi kijeshi  katika Tamasha la uzinduzi wa albam yake, Masanja Mkandamizaji 'Hakuna Jipya' katika uwanja wa kumbukumbu wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
Hapa ni mbele eeh Tembea...!!!  katika Tamasha la uzinduzi wa albam yake, Masanja Mkandamizaji 'Hakuna Jipya' katika uwanja wa kumbukumbu wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
Hapa ni kwa mwendo wa kuinama inama kijeshi....!!!  katika Tamasha la uzinduzi wa albam yake, Masanja Mkandamizaji 'Hakuna Jipya' katika uwanja wa kumbukumbu wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
Hapa ni vazi la uzinduzi...  katika Tamasha la uzinduzi wa albam yake, Masanja Mkandamizaji 'Hakuna Jipya' katika uwanja wa kumbukumbu wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
Hapa ni vazi la uzinduzi...huku akiogopa mvua ....  katika Tamasha la uzinduzi wa albam yake, Masanja Mkandamizaji 'Hakuna Jipya' katika uwanja wa kumbukumbu wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
Hapa masanja alisema huyu ni mdogo wake Joti(utani)......!!!  katika Tamasha la uzinduzi wa albam yake, Masanja Mkandamizaji 'Hakuna Jipya' katika uwanja wa kumbukumbu wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
Hapa ni helikopta ya Mh. Dr. Apostle Georg Davi ikitua katika Tamasha la uzinduzi wa albam Masanja Mkandamizaji 'Hakuna Jipya' katika uwanja wa kumbukumbu wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha pamoja na Dr. Georg Davi wakifurahia Tamasha la uzinduzi wa albam ya Masanja Mkandamizaji 'Hakuna Jipya' katika uwanja wa kumbukumbu wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
Hivi ni moja ya vituko vyake ....vya kunywa juice ya mtoto wa watu!!! katika Tamasha la uzinduzi wa albam yake Masanja Mkandamizaji 'Hakuna Jipya' katika uwanja wa kumbukumbu wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
Mstahiki ,Dr. Georg Davi akiongea machache kabla ya kutoa kiasi cha Milioni Moja (1,000,00/=),pia Mstahiki meya wa Jiji la Arusha alitoa Milioni Mbili(2,000,000/=) katika Tamasha la uzinduzi wa albam ya Masanja Mkandamizaji 'Hakuna Jipya' katika uwanja wa kumbukumbu wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
Keki Mbili zilizokatwa kuashiria kuanza kwa kuchangia pesa kwa kila mtu, katika Tamasha la uzinduzi wa albam ya Masanja Mkandamizaji 'Hakuna Jipya' katika uwanja wa kumbukumbu wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
JOTI....akigawa KEKI kuashiria ushirikiano mwema kati yao katika Tamasha la uzinduzi wa albam ya Masanja Mkandamizaji 'Hakuna Jipya' katika uwanja wa kumbukumbu wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
 
 
 

No comments:

Post a Comment