Wednesday, September 26, 2012

Sunday, September 23, 2012

Rais jakaya kikwete aongoza kikao maalum cha baraza la mawaziri


   Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda (kushoto), Waziri wa Fedha Dkt William Mgimwa, Waziri wa Kilimo Profesa Jumanne Maghembe na Waziri wa Masuala ya Afrika Mashariki Mhe Samuel Sitta baada ya kumalizika kwa mkutano maalumu wa Baraza la Mawaziri pamoja na Manaibu Mawaziri na Makatibu wakuu alipokutana nao Alhamisi Septemba 8, 2012 katika ukumbi wa Mikutano wa Benki Kuu jijini Dar es salaam.

 
 
 
Wajumbe katika mkutano maalumu wa Baraza la Mawaziri pamoja na Manaibu Mawaziri na Makatibu wakuu wakimsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete (hayupo pichani) alipokutana nao Alhamisi Septemba 8, 2012 katika ukumbi wa Mikutano wa Benki Kuu jijini Dar es salaam

No comments:

Post a Comment