Wednesday, May 23, 2012

WANAFUNZI UDOM WAANZA KUCHEKA MARA BAADA YA MAJINA YA MKOPO KUTOKA

Wanafunzi wa UDOM wakiwa Makini kuangalia majina yao kwaajili ya kuanza zoezi la kusaini na kupewa pesa zao za kujikimu  baada ya msoto wa zaidi ya wiki tatu huku hali ikiwa mbaya chuoni hapa.Wanafunzi hao wameonekana kuwa na furaha na matumaini ya kupata pesa zao kutokana na kukaa zaidi ya wiki tatu bila kupata pesa zao  na kupelekea wanafunzi hao kuwa na maisha ma

Makamu wa Rais Dk. Mohammed Gharib Bilal (kushoto) akipokea zawadi kutoka kwa Mkuu wa Chuo kipya cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi (NDC), Meja Jenerali Charles Makakala

Makamu wa Rais Dk. Mohammed Gharib Bilal (kushoto) akipokea zawadi kutoka kwa Mkuu wa Chuo kipya cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi (NDC), Meja Jenerali Charles Makakala, baada ya kufungua rasmi mkutano wa siku nne wa kubadilishana uzoefu baina ya Serikali za Tanzania na China kuhusu mafunzo ya ulinzi katika chuo hicho kilichopo Kunduchi, Dar es Salaam, jana. (Picha na Muhidin Sufiani).
 
 
 

Bodaboda zapigwa marufu katikati ya Jiji Dar es Salaam

Gari ya Mamlaka ya Udhibiti wa nchi Kavu na Majini (SUMATRA) zikiwa zimepakia Pikipiki zilizokamatwa jijini Dar es Salaam zikitumika kufanya biashara ya kubeba abiria bila Leseni.Picha Kwa Hisani ya Amani Tanzania Blogu
gumu.
 

KAMATI YA MISS TANZANIA YATEMBELEA MAZOEZI YA MISS KURASINI JIONI HII

Warembo wanaoshiriki katika shindano la Miss Kurasini wakimsikiliza Mkurugenzi wa kamati ya Miss Tanzania Hashim Lundega wakati wa mazoezi ya shindano la Miss Kurasini kwenye ukumbi wa Equator Grill leo jioni.
Mkurugenzi wa kamati ya Miss Tanzania Hashim Lundega akiongea na warembo wanaoshiriki katika shindano la Miss Kurasini hawapo pichani ,wakati wa mazoezi yao yanayofanyika kwenye ukumbi wa Equator Grill Mtoni kwa Azizi Ali jijini Dar es salaam, Shindano la kumsaka malkia wa kitongoji hicho linatarajiwa kufanyika siku yajumamosi katika ukumbi huohuo.
 

No comments:

Post a Comment